Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli
anafanya Mkutano na viongozi Wakuu Wastaafu wakiwemo Marais, Makamu wa
Rais, Maspika, Mawaziri wakuu na Majaji wakuu Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais Magufuli anafanya mkutano na viongozi wakuu wastaafu (+Picha)
Reviewed by Maktaba
on
July 03, 2018
Rating: 5
No comments: